Thursday, June 9, 2011

KATIKA WIKI YA KWANZA YA MKUTANO NAYE HUYU ALIAMUA KUACHANA NA MAISHA YA UKAPERA!


Mtumishi wa Mungu David Ongollo nae aliamua kuachana na maisha ya ukapera na kuamua kufunga ndoa katika kanisa la Kimara huwezi kuamini yaaaaani walitia fora mbaaaaaaaya

No comments:

Post a Comment